Browsing by Author "Cherop., C. Jane"
Now showing 1 - 1 of 1
Results Per Page
Sort Options
- ItemUsawiri Wa Mwanamke Katika Riwaya Va Said A Mohamed (Utencano) Na Adam Shafi (Kasri Va Mwinyi Fuad(Kampala International University, school of education, 2018-09) Cherop., C. JaneUtat’iti huu unahusu jinsi wanawake walivyosawiriwa katika riwaya ya kasri ya mwinyi Fuad na utengano na swala Ia utafiti ni kubaini jinsi waandishi hawa wawili Said A Mohamed( Utengano1980) na( Adam Shall :2007) Kasri ya mwinyi Fuad.Lengo kuu ni kuchanganua usawiri wa mwanamke katika riwaya ya Said A Mohamed (Utengano) na Adam Shall (Kasri ya mwinyi Fuad ).Maswali kadhaa yanaibuliwa ; je,kuna umuhirnu wa kumsawiri mwanamke katika tungo za riwaya katika kuendeleza ploti ?nafäsi ya riwaya inaweza kutathminiwa vipi katika kuendeleza ploti ? ,Je mwanamke anasawiriwa vipi katika riwaya za Said A Mohamed na Adam Shafi ? .Mbinu za utafiti zilizotumika ni uanishaji wa utafiti , upeo wa utafiti , sampuli lengwa, mbinu ya ukusanyaji data iliyotumika ilikua kusoma riwaya hizi mbili , kusoma kazi ya watafiti wengine na kusoma nyaraka mbalimbali katika maktaba ya chuo kikuu cha kimataith kampala. Katika uchambuzi inaonekana kuwa hakuna tofauti ya msingi baina ya waandishi hawa , wote wamemchora mwanamke katika taswira hasi . Jambo hili linatuonyesha kuwa waandishi huandika wakiamini kwamba, wao ni chombo cha kijamii na ni sehemu ya jamii wanayoiandikia Jamii hizi ni zile zilizozugukwa na mila , desturi na Zaidi mambo haya yanakuzwa na mhimili na mawazo yanayoshadidiwa na dini . lJtafiti huu unapendekeza elimu iwe mkombozj kwa mwananike Hi mwanamke ajikomboe kutokana na mfbmo wa ukandamizaji . Elimu itasaidia wanajamii kuondpa mawazo potofu ya kusema kuwa nafasi aliyopewa mwanamke ni mapenzi ya mungu na ndiyo stahili yake